Al-Lajnah Ad-Daa#039;imah: Kuacha Swalaah Ya Jamaa’ah Kwa Sababu Ya Kuwaonea Watu Hayaa

SWALI: Mimi husikia Adhana ya Alfajiri, lakini siendi kuswali, na sababu ni kuwa ninawaonea watu hayaa, nnadhania kuwa watanifanyia istihzaai waseme: “Eh, kijana ni mswalihina!” Na hunijia fikra ya kiajabu, basi huamka baada ya shuruwq (jua kuchomoza) na ndio huswali. Je hivi inajuzu au sio?

JIBU:




Vitambulisho: